Arusha
Home » » TIGO FIESTA YATIKISA JIJI LA ARUSHA JUMAMOSI HII

TIGO FIESTA YATIKISA JIJI LA ARUSHA JUMAMOSI HII


Baraka Da Prince na Nandy wakitumbuiza katika jukwaa la Fiesta usiku wa jumamosi katika viwanja vya Amri Sheikh abeid karume Jijini Arusha 

Barnaba akiburudisha maelfu ya wakazi wa Jiji la Arusha 

Benpol akiwa na Mcheza shoo wake wakitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa jumamosi Jijini Arusha 

Mashabiki wakimshangilia Benpol 

Mkali wa Muziki wa Rhumba Christian Bella akiburudisha mashabiki wa muziki katika jukwaa la Tigo Fiesta 

Darasa akionesha umahir kughani katika jukwaa la Tigo fiesta 


Dogo Janja kwa style yake akitumbuiza katika Jukwaa la fiesta Jijini Arusha

Feza Kessy akionesha umahiri wake katika jukwaa la Fiesta jijini Arusha

Jambo SQUAD

Linah naye akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta jijini Arusha 




Mr Blue 

Vanesa Mdee akiburudisha mashabiki wake katika Jukwaa la Tigo Fiesta

Weusi wakishambulia jukwaa la Tigo Fiesta usiku wa Jumamosi 
Maelfu ya wakazi wa Arusha wakishuhuhida burudani kali toka kwa wasanii waliotumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa