Home » , , » RC Kihongosi Asikiliza na Kutatua Kero za Wamiliki na Wafanyakazi wa Saluni, Jijini Arusha.

RC Kihongosi Asikiliza na Kutatua Kero za Wamiliki na Wafanyakazi wa Saluni, Jijini Arusha.

WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.58.16

WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.58.14

WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.57.14

WhatsApp%20Image%202025-07-23%20at%2007.57.12


Na Frida Maganga,Arusha 

Watumishi na waajiriwa wa Halimashauri ya jiji la  Arusha wametakiwa kufanya kazi zao kwa mujibu wa taratibu na sharia pamoja na miongozo yao ya kazi pasipo kutengeneza mazingira yoyote yale ya kumwonea mwanachi yoyote yule mkazi wa mkoa wa Arusha .


Rai hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Arusha Bwana Kenani Kihongosi wakati akizungumza na wamiliki na watumishi wa Salooni kike na kiume jijiini Arusha  wakati akijibu malamiko ya mmiliki wa saluni Bi Rose Barage.


Ambapo Bi. Rose aliamueleza mkuu mkoa kuhusiana na manyanyaso anayo yapata pamoja kutoka kwa mtu aliyetambulika kwa jina la Lusekelo anayetambulika kama mmiliki aliyekodisha chumba cha biashara halimashauri ya jiji la Arusha na Kumpangishia yeye kwa bei kubwa.


Kutokana malalamiko hayo mkuu wa mkoa Mhe. Kihongosi alimwagiza mkurugenzi wa jiji la Arusha kuhakikisha wanampatia siku hii ya leo mkataba Bi. Rose ili aondokane na manyanyaso .

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa