Mwenyekiti wa Mradi wa Ujenzi wa Bweni
la Wanafunzi Prof. Kelvin Mtei ( katikati)
akifafanua jambo kwa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Hesabu za Serikali ( PAC)
walipotembelea mradi huo katikati Taasisi ya
Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson
Mandela Machi 25,2025 Kampasi ya
Tengeru jijini Arusha.
0 comments:
Post a Comment