Home » » MWANASHERIA MKUU ATOA WITO KWA MAWAKILI WA SERIKALI: “TUFANYE KAZI KWA HARAKA NA UBORA”

MWANASHERIA MKUU ATOA WITO KWA MAWAKILI WA SERIKALI: “TUFANYE KAZI KWA HARAKA NA UBORA”


Na Pamela Mollel, Arusha


Arusha, Machi 25, 2025 — Mwanasheria Mkuu wa Serikali, 

Hamza Said Johari, ametoa wito maalum kwa Mawakili na 

Wanasheria wote wa Serikali kuzingatia ubora na weledi 

katika utoaji wa huduma za kisheria, huku akisisitiza 

umuhimu wa kufanya kazi kwa wakati ili kuchochea maendeleo ya Taifa.


Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza Said Johari akizungumza jijini Arusha katika mafunzo ya pili ya  mwaka kwa Mawakili wa Serikali


Sehemu ya washiriki wakiwemo Majaji wa Mahakama Kuu

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa