Home » » CRDB ARUSHA WAFURAHI NA WATOTO‏

CRDB ARUSHA WAFURAHI NA WATOTO‏

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

 Meneja biashara CRDB tawi la Arusha, Rose  Mkumbwa (kulia) pamoja na wafanyakzi wengine wa Benki hiyo wakiwapa zawadi watoto  ambao ni wateja wa benki hiyo kupityia akaunti ya wateja wa account ya Junior Jumbo wakati wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika mjini Arusha jana.
 Mkurugenzi wa CRDB tawi la Arusha  Chiku Issa wa pili kutoka kulia (Alie beba mtoto) na Meneja biashara tawi la Arusha Rose Mkumbwa (kulia) wakiwa na wateja wa account ya Junior Jumbo, wakati wa maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika
Meneja biashara CRDB tawi la Arusha, Rose  Mkumbwa akizungumza na mtoto Collins Godwin

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa