Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Askari
wa usalama barabarani mkoani Arusha wakimkamata mwendesha
bodaboda(aliyevalia fulana nyuepe)leo kwa kukiuka sheria za barabarani
katika barabara ya boma mkabala na ofisi za TTCL jijini Arusha ,hata
hivyo dereva huyo alichomoka na ufunguo wa pikipiki na kuwaacha askari
hao wakishangaa
(Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
0 comments:
Post a Comment