Amiri
Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimpa zawadi na kumpongeza
Luteni Usu Edwin Engelbert Kessy wakati wa hafla ya kutunuku kamisheni
maafisa wa jeshi baada kuibuka mwanafunzi bora wakati wa mafunzo ya
maafisa wa jeshi yaliyofanyika katika chuo cha jeshi Monduli mjini
Arusha jana.
Rais
Kikwete akitunuku Kamisheni maafisa wa jeshi katika chuo cha Jeshi huko
Monduli Mkoani Arusha jana. Jumla ya maafisa 171 walitunukiwa kamisheni
wakati wa hafla hiyo. (Picha na Freddy Maro.)
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment