Arusha
Home » » MAONESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA WANANNCHI WAFURIKA BANDA LA BALTON KUJIFUNZA KILIMO NA UFUGAJI‏

MAONESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA WANANNCHI WAFURIKA BANDA LA BALTON KUJIFUNZA KILIMO NA UFUGAJI‏

 Ofisa Mauzo wa Vifaa vya Kilimo wa Kampuni ya Balton Tanzania, Moses Lembris (kulia) akitoa maelezo kwa baadhi ya wananchi wa jijini Arusha, waliofika katika Banda la kampuni hiyo, kwenye maonesho na Sikukuu ya Wakulima Nane Nane, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Themi jijini Arusha,leo. Picha na www.sufianimafoto.com
 Mtaalamu wa Kilimo wa kampuni ya Balton, Jane Remmy, (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kuotesha miche mboga mboga kwa baadhi ya wananchi, waliofika kwenye banda la maonesho ya Nane nane jijini Arusha leo. 
 Sufianimafoto naye hakuwa mbali kupata ujuzi wa kilimo katika banda hilo.
 Maelezo yakiendelea......
 Jane Remmy (kulia) akionesha jinsi wanavyootesha matango...
 Linda Byaba,akiangalia miche ya Maharage....
 Bwawa la kutengeneza la kufugia samaki ama kutumika kumwagilia bustani ya mbogamboga....
 Lango Kuu la kuingilia banda la Balton.....
 Wakazi wa arusha wakimiminika katika viwanja vya maonesho vya Themi.....
 Pia makulaji katika anga hizo kulikuwa ni hatareeeeee
 Kinamama wakiuzaasali.....
 Kilimo katika mabanda mengine viwanjani hapo.....
Banda la Wilaya na Karatu....

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa