Naibu Katibu Mkuu CCM
Tanzania Bara Mh;Mwigulu Nchemba ameshawasili Jijini Arusha Mchana huu
akitokea Kiteto na Babati kwa ajili ya Uzinduzi wa Kampeni za Udiwani
zinazoendelea nchi nzima,Chaguzi hizi ni ndogo kwa ajili ya kujaza
nafasi za Madiwani waliojiuzulu na wengine kufariki.
Naibu
Katibu Mkuu CCM Mh:Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mgombea wa
Udiwani Kata ya Sombetini WIlaya ya Arusha ndugu David,Hapa akiwa kwenye
maandamano kutokea Ofisi za chama hapa Sombetini kuelekea Viwanja vya
Mkutano,Kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha.
Naibu
Katibu Mkuu CCM Mh:Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mgombea wa
Udiwani Kata ya Sombetini WIlaya ya Arusha ndugu David,Hapa akiwa kwenye
maandamano kutokea Ofisi za chama hapa Sombetini kuelekea Viwanja vya
Mkutano,Kulia ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha.
Mh:mwigulu
Nchemba akipata mapokezi mazito kutoka kwa maelfu ya wananchi
waliomiminika Viwanja hivi vya Soko la Mbauda kwaajili ya Mkutano wa
hadhara wa kampeni za Udiwani.
Mapokezi yanaendelea hapa Soko la Mbauda kwa ajili ya kuanza mkutano wa hadhara.
Sehemu
ya Mamia ya Wananchi wakiwa tayari kusikiliza Mkutano huu wa hadhara
kwaajili ya Kampeni za Udiwani kata ya Sombetini jijini Arusha.
Wananchi
wanaendela kumiminika kwenye viwanja hivi vya soko la Mbauda kwenye
Mkutano wa Hadhara wa CCM kumnadi mgombea wa CCM kwenye Kinyang'anyiro
cha Udiwani.
Kwa hisani ya Jiachie Blog
0 comments:
Post a Comment