Arusha
Home » » KARATU SASA KUGWA MATREKTA 50 KWA VIKUNDI VYA WAKULIMA

KARATU SASA KUGWA MATREKTA 50 KWA VIKUNDI VYA WAKULIMA

Arusha. Halmashauri ya Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, imepanga kutoa zaidi ya matrekta 50 kwa vikundi vya wakulima, ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kuboresha kilimo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Karatu, Titus Lazaro alitoa taarifa hiyo kwenye hafla ya kutoa matrekta manne yenye thamani ya Sh70 milioni kwa vikundi vya wakulima wilayani hapa juzi.
Lazaro alisema kupitia mpango wa Kilimo Kwanza, halmashauri hiyo imejipanga kuwa mfano Arusha kwa kusaidia wakulima wake.
“Leo vikundi hivi vimepata matrekta manne, kwa sababu walikubali kujiunga na sasa wameanza kunufaika na uwezeshaji wa pembejeo ,” alisema.
kupitia dirisha la kilimo kwanza”alisema Lazaro.
Chanzo:Mwananchi

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa