Arusha
Home » » Just in: MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE NA GODBLESS LEMA WAJISALIMISHA KITUO CHA POLISI ARUSHA.

Just in: MWENYEKITI WA CHADEMA FREEMAN MBOWE NA GODBLESS LEMA WAJISALIMISHA KITUO CHA POLISI ARUSHA.

Kwa Taarifa zilizo tufikia katika chumba chetu cha habari zinasema kwamba Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha Chadema Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema wamejisalimisha wenyewe leo asubuhi  katika kituo Kikuu cha Polisi Mkoani Arusha kwa ajili ya kuhojiwa.

Endelea kufuatilia hapa 


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa