Kwa Taarifa zilizo tufikia katika chumba chetu cha habari zinasema kwamba Mwenyekiti
wa Taifa wa chama cha Chadema Freeman Mbowe na mbunge wa Arusha Mjini
Godbless Lema wamejisalimisha wenyewe leo asubuhi katika kituo Kikuu
cha Polisi Mkoani Arusha kwa ajili ya kuhojiwa.
Endelea kufuatilia hapa
0 comments:
Post a Comment