Wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Arusha wakiwa katika tamasha la siku ya Ukimwi duniani lililofanyika katika ukumbi wa chuo kikuu cha Makumira, tamasha hilo limeandaliwa na kituo cha radio 5 kwa kushirikiana na jumuiya ya Afrika Mashariki nia ikiwa kuwahamasisha vijana wasipoteze malengo yao.(Picha na Ahmed Mahmoud).
Home »
» Kongamano la Ukimwi kwa Wanavyuo Vikuu Jijini Arusha Siku ya Ukimwi Duniani.
0 comments:
Post a Comment