muheshimi |Nabii Dr,Geor Davie akiwa anawasili katika kituo cha mabasi madogo cha arusha sehemu ambayo aliandaliwa kwa ajili ya kuwatamkia baraka wafanya biashara wa Arusha pamoja na wananchi wa jiji hilo kwa ujumla
wananchi waliouthuria katika mkutano huo wa muda mfupi
picha ikionyesha wananchi wakiwa wanamsubiri nabii
Akishuka kwenye gari
mpiga picha ambaye kwa habari ambazo libeneke limezipa zinadai kuwa ni mtoto wa kwanza wa nabii akiwa anaendelea kufanya kazi yake
wananchi wakiwa wengine wamepanda juu ya vibanda kwa wakipokea baraka
mara baada ya nabii kuondoka standi ndogo ilisemekana ameenda katika uwanja wa kumbukumbu ya sheikh Amri Abeid ivyo waumini wengi wa ngurumo ya upako walienda kumsubiri nje ya geti la uwanja huo ambao leo hii pia utakuwa na mechi ya timu ya Jkt Oljoro pamoja na African lion ,hivyo wafuasi hao kuzuiwa kuingia
0 comments:
Post a Comment