Arusha
Home » » Mbunge wa Arumeru Mashariki(CHADEMA)Joshua Nassari Aripoti Kituo Kikuu Cha Polisi Mkoani Arusha Baada Ya Jeshi la Polisi Kumtaka Kufanya Hivyo

Mbunge wa Arumeru Mashariki(CHADEMA)Joshua Nassari Aripoti Kituo Kikuu Cha Polisi Mkoani Arusha Baada Ya Jeshi la Polisi Kumtaka Kufanya Hivyo


 Wakili Albert Msando akizungumza na waandishi wa habari jana katika makao makuu ya Jeshi hilo mkoani Arusha akiwa na  Mbunge wa Jimbo la Arumeru Magharibi Joshua Nassari(Chadema) alipojisalimisha Polisi baada ya kutakiwa kujisalimisha
Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari(Chadema) akisalimiana na Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha Akili Mpwapwa leo katika makao makuu ya jeshi hilo mkoani hapa,alipojisalimisha baada ya kutakiwa kuripoti kituoni hapo

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa