Home » » Kampeni Za CHADEMA Arumeru Jana

Kampeni Za CHADEMA Arumeru Jana


 Nassari akiwa karibu na helkopta,usafiri anaoutumia kwenye kampeni zake.Anafanya mikutano mitano hadi sita kwa siku
 Mh.Freeman Mbowe akimuombea kura Nasari
 Mzee maarufu wa CCM aliyerejesha kadi na kujiunga CHADEMA akimnadi Joshua Nassari

 Nasari akisalimia watu baada ya mkutano
Nasari(katikati) akisindikizwa kwenye helkopta.Kushoto ni Kamanda Renatus Mrashani katibu wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam,na kulia ni kamanda Jackson Makala
Joshua Nassari akiomba kura katika kijiji cha Nshupu jana
Picha zote na Jacson W. Makala

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa