Home » » Kampeni Za CCM Usa River jana

Kampeni Za CCM Usa River jana

 Wazee wa Kijiji cha Lekitatu, Usa River wakifuatilia kwa makini mkutnao wa kampeni za CCM uliofanyika jana kwenye kijiji hicho
 Mratibu wa kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akisoma waraka kwenye mkutano wa kampeni Usa River, waraka huo inadaiwa ni wa CHADEMA wakikiri watashindwa uchaguzi wa Arumeru Mashariki
 Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampeni za CCM jana Uwanja wa Ngarasero, Usa River
 Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa Ngarosero, kata ya Usa River jimboni humo. Kushoto ni Mratibu wa kampeni za CCM, Katibu wa NEC Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba.
 Mgombea wa CCM, jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akipungia mikono maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo. Mbele yake (kushoto) ni Mbunge wa Mtera Joseph Lusinde
Umati wa watu waliofurika mkutano wa kampeni za CCM, Uwanja wa Ngarasero, Usa River,janaPicha na Bashir Nkromo-Arumeru

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa