Ni tukio la kusikitisha sana limetokea Muda si Mrefu eneo la Boma Ng'ombe Jijini Arusha ambapo Basi la Abiria la BM likitokea Morogoro limesababisha vifo vya watu watatu hapo hapo baada ya Kumgonga mwendesha Bodaboda ambaye alifariki hapo hapo na Baadae likatoka Nje ya barabara na Kugonga watu wawili watembea kwa Mguu na kusababisha vifo vyao hapo hapo pia...
Taarifa kamili zitawajia ...
Mashuhuda wakiwa wanashuhudia ajali hiyo eneo la Boma Ng'ombe Arusha
Baadhi ya Magari yakiwa yamepaki pembeni Baada ya ajali hiyo kutokea
Baadhi ya watu wakiwa Nje wanatazama ajali hiyo
Picha zote na Arusha yetu Blog
0 comments:
Post a Comment