Arusha
Home » » MOUNT MERU RICKERNEST BAND YAWAKOSHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE

MOUNT MERU RICKERNEST BAND YAWAKOSHA WAKAZI WA JIJI LA ARUSHA NA VITONGOJI VYAKE

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
waimbaji wa bendi ya Mounti Meru Rickernest wakiongozwa na Rais wa Bendi hiyo Fabrice Kulialia (Teminator wa masauti) tatu kulia  wakiwa wanashambulia jukwaa wekendi hii ndani ya ukumbi wa Triple A (picha na Woindeshizza blog )
 mashabiki wa bendi ya Mountimeru Ricker nest wakiwa wanapata burudani
 
 Rappa wa bendi ya Mountimeru ricker nest njegere akiwa anafanya yake jukwaani
 
 Mara moja moja kujitokeza kushuhudia bendi sio mbaya apa mmiliki walibeneke la kaskazini blog Woinde shizza katik kati nikiwa na mashabiki zangu tukiendelea kuburudika na bendi hii
 
 yalikuwa ni mambo ya sebene tu ,ukifika jijini Arusha usiulize pa kwenda ni Triple a klabu tu kwa burudani za aina yote kuanzia vinjwaji ,disco la nguvu pamoja na live band kutoka bendi ya Mounti meru Ricker nest Music (picha na Woinde Shizza,Arusha )
 
 
 katika bendi hiii pia kuna wadada wa kike nikimaanisha wanenguaji hapa wakifanya yao
 

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa