Home » » NEC YAONGEZA SIKU 7 ZA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

NEC YAONGEZA SIKU 7 ZA UANDIKISHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 



Mkurugenzi wa Idara  ya Daftri la Kudumu la Wapiga kura Dk.Sisti  Griah akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani leo katika ukumbi wa mikutano wa Tume ya uchanguzi, juu ya Tume ya Taifa ya uchaguzi kusogeza mbele siku saba,wa  zoezi la Uboreshaji wa Daftali la Wapiga Kura katika Mikoa ya Kilimanjaro,Arusha ,Manyara na Mara Ambalo linataliajia kuanza Juni16 mwaka huu.Kulia ni Mkurungenzi idara ya Elimu ya Mpiga kura Ruth Masham.
Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhulia katika mkutano wa mazungumzo ya kuongeza siku za uandikishaji wa Daftali la wapiga kura.(PICHA NA EMMANUEL MASSAKA.)

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa