Hakimu
wa Mahakama ya Wilaya ya Arumeru, Devotha
Kamuzora jana alimkabidhi hati ya mashitaka yanayomkabili,
Victor Ambrose (20) ambaye ni mtuhumiwa pekee aliyepandishwa
kizimbani baada ya kutokea shambulio la bomu katika Kanisa
la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Olasiti jijini Arusha.
Kamuzora jana alimkabidhi hati ya mashitaka yanayomkabili,
Victor Ambrose (20) ambaye ni mtuhumiwa pekee aliyepandishwa
kizimbani baada ya kutokea shambulio la bomu katika Kanisa
la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Olasiti jijini Arusha.
Ambrose
alikabidhiwa hati hiyo ya mashitaka yanayomkabili
jana katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru jijini Arusha
na kuambiwa na wakili wa Serikali, Adelaide Kasala kuwa
upelelezi dhidi ya kesi hiyo, haujakamilika na kumuomba
Hakimu Kamuzora kutaja tarehe nyingine.
jana katika Mahakama ya Wilaya ya Arumeru jijini Arusha
na kuambiwa na wakili wa Serikali, Adelaide Kasala kuwa
upelelezi dhidi ya kesi hiyo, haujakamilika na kumuomba
Hakimu Kamuzora kutaja tarehe nyingine.
Hakimu
Kamuzora kabla ya kuahirisha kesi hiyo alimuuliza
Ambrose kama alipewa hati yake dhidi ya mshitaka yanayomkabili.
Ambrose alipojibu, “hapana.” Baada ya jibu hilo,
Ambrose kama alipewa hati yake dhidi ya mshitaka yanayomkabili.
Ambrose alipojibu, “hapana.” Baada ya jibu hilo,
Hakimu
alitoa hati hiyo na Ambrose kukabidhiwa na
kuahirisha kesi hiyo hadi Juni 24.Ambrose ambaye ni
dereva wa bodaboda na mkazi wa Mrombo jijini Arusha,
mara ya kwanza alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi
jijini Arusha na baadaye kuhamishiwa Mahakama ya Wilaya
ya Arumeru na kusomewa mashitaka yake kwa mara ya tatu
sasa huku akitakiwa kutojibu lolote, kutokana na Mahakama
hiyo kutokuwa na uwezo kisheria wa kusikiliza kesi za mauaji.
kuahirisha kesi hiyo hadi Juni 24.Ambrose ambaye ni
dereva wa bodaboda na mkazi wa Mrombo jijini Arusha,
mara ya kwanza alifikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi
jijini Arusha na baadaye kuhamishiwa Mahakama ya Wilaya
ya Arumeru na kusomewa mashitaka yake kwa mara ya tatu
sasa huku akitakiwa kutojibu lolote, kutokana na Mahakama
hiyo kutokuwa na uwezo kisheria wa kusikiliza kesi za mauaji.
Wakili
wa Serikali, Adelaide Kasala alidai mahakamani hapo
Victor alitenda makosa hayo Mei 5, mwaka huu katika Kanisa
la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Olasiti jijini.
Victor alitenda makosa hayo Mei 5, mwaka huu katika Kanisa
la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Olasiti jijini.
0 comments:
Post a Comment