Home » » Ujenzi Wa Ukuta Wenye Utata Arusha

Ujenzi Wa Ukuta Wenye Utata Arusha



Mwenyekiti  wa ccm mtaa wa Kambarage,Gulam Fazali       anayenyoosha mikono akimpa maelezo mhandisi wa maji wa manispaa ya jiji la Arusha,Paschael Emmanuel(wa pili kutoka kulia) aliyefika kusikiliza kero ya wakazi wa eneo hilo kuhusu ukuta unaojengwa na kiwanda  cha Mt,meru ambapo waliulalalamikia  kwamba unahatarisha chanzo cha maji kilichopo mkabala na ukuta huo wiki iliyopita ,pembeni kushoto wanaoshuhudia ni wakazi wa eneo hilo
(picha na mahmoud ahmad)

0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa