Arusha
Home » » Waziri wa afya Ummy Mwalimu afungua mkutano wa 12 wa baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Waziri wa afya Ummy Mwalimu afungua mkutano wa 12 wa baraza la mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
u1 
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jobs is,Wazee na watoto Ummy Mwalimu (katikati) akiwa na waziri wa afya toka Uganda(kulia)wakifuatilia mada zinazowasilishwa Kenney mkutano huo.
u3 
Katibu Mkuu,Wizara ya Afya Tanzania,Dkt.Mpoki Ulisubyisya akiwasilisha mada kwenye mkutano huo.
u2 
Baadhi ya mawaziri wa baraza hilo wakiwa Kenney picha ya pamoja.
u4 
Mawaziri wa  afya za nchi za  Jumuiya ya Afrika Mashariki wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya ufunguzi wa mkutano wa pamoja wa majadiliano kuhusu maendeleo endelevu ya kupunguza kiwango cha juu cha maambukizi ya magonjwa ya kuambukiza na yasiyo ya kuambukiza unaofanyika jijini Arusha.
(Picha zote na Wizara ya Afya)

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa