Naibu
Waziri wa Kilimo,Mifugo na maendeleo ya Uvuvi,Mh.William Ole
Nasha(katikati)akimsikiliza Meneja wa Vifungashio(Packaging Manager) wa
kiwanda cha TBLmkoa wa Arusha,Joseph Mwaikasu katika ziara aliyoifanya
kiwandani hapo,kulia ni Katibu wa Naibu Waziri Jeremia Temu
Naibu
Waziri wa Kilimo,Mifugo na Maendeleo ya Uvuvi,Mh.William Ole Nasha
(kushoto) akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha TBL cha Arusha, Mhandisi
Salvatory Rweyemamu (kulia) alipotembelea kiwanda hicho
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Maendeleo ya
Uvuvi,Mh.William Ole Nasha (wa pili kulia) akimsikiliza Meneja Mauzo wa
kiwanda cha TBL cha Arusha Davis Deogratius (kushoto)alipotembelea
kiwanda hicho ,wengine kwenye picha ni Maofisa wa Meneja wa Kiwanda
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na maendeleo ya
Uvuvi,Mh.William Ole Nasha (wa kutoka kushoto) akifuatilia kwa makini mada
kuhusu zao la Shayiri linalotumiwa katika uzalishaji kwa wa bia wakati
alipofanya ziara kwenye kiwanda cha TBL mkoani
Arusha,kushoto ni Meneja Uzalishaji wa kiwanda hich Mhandisi Salvatory
Rweyemamu.
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Maendeleo ya
Uvuvi,Mh.William Ole Nasha na ujumbe wake (wa pili kutoka kushoto) akimsikiliza
Meneja wa Vifungashio (Packaging Manager) wa kiwanda cha TBL cha Arusha
Arusha,Joseph Mwaikasu katika ziara aliyoifanya kiwandani hapo.
0 comments:
Post a Comment