Waziri
wa viwanda na biashara dokta Abdallah Kigoda ametaka tasisi kubwa
zinazoshughulika na masuala ya biashara na uwekezaji kukutana na mamlaka
ya mapato nchini tra kujadili jinsi ya kuangalia kupunguza ushuru na
hizo kodi zisozikuwa na tija ili mazingira ya uwekezaji na uzalishaji
uwe wenye faida.
Chanzo:ITV Tanzania
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment