Arusha
Home » » WAREMBO MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEAMAKAO MAKUU YA EAC, AICC, AUWSA

WAREMBO MISS TANZANIA 2014 WATEMBELEAMAKAO MAKUU YA EAC, AICC, AUWSA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
 Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini,John Mongela akisalimiana na Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, walipomtembelea ofisini kwake jijini Arusha leo. Warembo hao Septemba 27 wanataraji kupandaa jukwaani kuwania taji la Miss Top Model litakalofanyika jijini Arusha.
 Warembo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa mAMLAKA ya maji safi na maji taka Jijini Arusha(AUWSA) walipowatembelea leo
 Wakiwasili AICC
Warembo wanaoshiriki shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, wakimsikiliza Ofisa Habari Mwandamizi na Itifaki wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Catherine Kilinda aliyekuwa akiwapa maelezo mbalimbali kuhusina na kazi za kituo hicho walipokitembrelea jijini Arusha leo.Aliyevalia suti ni Rodney Thadeus Ofisa Itifaki.
 Warembo wakiwa ndani ya Bunge la Afrika Mashariki (EALA) leo

Washiriki wa shindano la Redd’s Miss Tanzania 2014, wakiwa katika picha ya pamoja huku wakiwa na benbdera ya Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC) walipotembelea Makao makuu ya Jumuia hiyo jijini Arusha
Warembo wakisambaza upendo kwa Rodney Thadeus.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Arusha Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa